Thursday, March 30, 2017
BREAKING;Mbunge lijualikali aachiwa huru
Mbunge wa Kilombero Peter Lijualikali yuko huru baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kilombero. #Mwananchileo
Tuesday, March 28, 2017
Agizo la DC katika kata ya Moivaro
Kutokana nakuwepo kwa tatizo la kivuko katika kata ya Moivaro mkuu wa wilaya ya Arusha ameagiza watendaji wahakikishe wanatengeneza kivuko cha muda ili kiweze kuruhusu mawasiliano wakati serikali ikijipanga katika ujenzi wa daraja la kisasa
Hata hivyo wananchi wamezungumzia suala la uwepo wa umeme mdogo pamoja na suala la machimbo ya moramu
Monday, March 27, 2017
Waziri aagiza Nay wa mitego aachiwe
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego.
- Waziri ameishauri BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo huo, na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine.
- Waziri ameishauri BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo huo, na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine.
BREAKING;Wimbo wa Nay wa mitego wafungiwa
: Baraza la Sanaa Tanzania limeufungia Wimbo wa Wapo wa Nay wa Mitego na kutoa onyo kwa wanaosambaza au kutumia nyimbo zilizofungiwa kuwa ni kosa kisheria
Sunday, March 26, 2017
Tuesday, March 21, 2017
Diwani wa Chadema Arusha amesema wanaompinga RC,DC na mkurugenzi nivichaa
BREAKING;Diwani wa kata ya kimandolu CHADEMA Rhyson Ngowi amesema wanaomkataza kufanya kazi na mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Fabian Daqarro na mkurugenzi wa jiji Athumani Kihamia pamoja viongozi wengine ni vichaa na yeye anatekeleza ilani ya chama kilichopo madarakani
Amesema hua hapendi siasa za mafarakano na atawapa viongozi ushirikiano
#Ziara ya Dc Kimandolu
Friday, March 17, 2017
Tundu lisu alipowasili kwenye kituo cha AICC
UPDATE;Mgombea urais wa TLS Tundu Lisu amewasili katika kituo cha mikutano cha kimataifa Arusha AICC ni Mara baada ya kupata dhamana siku ya Leo baada yakutoka mahakamani
Subscribe to:
Posts (Atom)