Monday, April 14, 2014

HATI YA MUUNGANO NDIO HII HAPA

HATI YA MUUNGANO NDIO HII

BlL3iXXIcAAc_v6
Taarifa zilizotufikia hapa ni kwamba Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue katika mkutano wake na waandishi wa habari  mjini Daressalaam ameonyesha hati halisi ya muungano iliyosainiwa na waasisi wa muungano huo hayati Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Karume.

No comments:

Post a Comment