Mchungaji
Ambilikile Mwaisapile (Babu Wa Loliondo) amesema Mungu ameendelea
kujifunua kwake na kumuonesha kuwa Tanzania itakuwa kioo cha Afrika na
baadaye dunia yote.
Ameyasema hayo wakati Waziri mkuu Mizengo Pinda alipopita nyumbani kwake kumsalimia baaada ya ziara yake aliyoifanya huko.
Ameyasema hayo wakati Waziri mkuu Mizengo Pinda alipopita nyumbani kwake kumsalimia baaada ya ziara yake aliyoifanya huko.
No comments:
Post a Comment