MKUU WA MKOA WA ARUSHA,MAGESA MULONGO AFUNGUA WIKI YA USALAMA BARABARANI AHIMIZA UTII WA SHERIA
![]() |
| Waendesha Pikipiki jijini Arusha wakiwa kwenye maandamano barabara ya Moshi –Arusha eneo la Sanawari wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Usalama barabarani yanayofanyika kitaifa mkoani Arusha leo |
![]() |
| Askari wa Brass band wakiongoza maandamo ya kuadhimisha ya Wiki ya Usalama barabarani yanayofanyika kitaifa mkoani Arusha leo |
![]() |
| Wanafunzi wa Shule ya Msingi Uhuru ya jijini Arusha wakijumuuika kwenye maadhimisho ya Wiki ya Usalama barabarani yanayofanyika kitaifa mkoani Arusha . |
![]() |
| Wanafunzi wa Shule za Msingi jijini Arusha wakijumuuika kwenye maadhimisho ya Wiki ya Usalama barabarani yanayofanyika kitaifa mkoani Arusha . |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo akimsikiliza Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Makao Makuu,Yohana Mjema wakati akitoa maelezo ya hali ya usalama barabarani. |
![]() |
| Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo akihutubia wananchi. |
![]() |
| Baadhi ya Maafisa wa jeshi la Polisi nchini wakifatilia maadhimisho ya wiki ya Usalama barabarani. |









No comments:
Post a Comment