
Goli la timu ya Taifa Stars limefungwa na mchezaji Mwana Samata baada ya kupokea krosi kutoka kwa mchezaji mwenzake Domayo katika dakika ya 89 ya mchezo huo, Mbwana Samata anacheza mpira wa kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Lubumbashi nchini DRC CONGO.


No comments:
Post a Comment