Sunday, July 21, 2013

Kwa ajili ya wanawake pekee yao

Kwa ajili ya wanawake pekee yao

Nafahamu kuwa unafahamu kwamba mwanamke siku zote anachelewa kufika kileleni hali inayofanya waume/wapenzi wetu kufanya wawezalo ili mwanamke uanze kisha yeye amalizie....awe wa mwisho.
Hali hii ikizoeleka inakuwa "boring", yaani kila siku wewe unakuwa wa kwanza! Inakuwa routine kitu ambacho mimi binafsi nakipiga vita kutokea kwenye mahusiano ya kimapenzi kwani kinaweza kufanya ule msisimko wa uhusiano wenu kuwa "butu" yaani uhusiano hauna masham-sham a.k.a hauna "makali"
Licha ya hivyo, kuna wakati wewe mwanamke unataka kuhisi "uanamke wako" yaani kama ni mwanaume basi atasema mwanaume aliyekamilika.Ukamilifu wa mwanamke sio tu kujua aina za mapishi, kutoa penzi, kuwa mwepesi wakati wa kungonoana, mwenye kulipenda umbile lake zuri alilojaaliwa na Mungu, usafi na mwenye kuvutia bali pia uwezo wa kujua kumuwahisha mpenzi hasa kama mpenzi wako ni mmoja kati ya wale waliojaaliwa kwenda "mwendo mrefu" au kazoea kujizua na hivyo anashindwa kujiachia ili awahi....
Au inawezekana kabisa bao la kwanza kutoka kwake mpenzi wako linakuja haraka (kawaida kwa wanaume wengi hasa kama anahamu  sana)lakini yatakayofuatia yanachukua "mwaka" hali inayoweza kukufanya utake kumuona mpenzi wako anakuja tena na tena....
Unaweza kujitahidi kumfanyia manjonjo na masham-sham ili ashindwe kujizuia na kumaliza mapema lakini njemba haifiki walanini.....hii ikitokea usikate tamaa na kujishtukia kuwa huwezi "game"...."game" unaiweza ila hujampatia tu......sasa nitakupa kambinu ambayo mwanaume yeyote hawezi kujizuia ikiwa utazipatia mbinu  hizi.
Kumbuka unapofanya hii mbinu lengo ni wewe na yeye kufurahia hivyo haijalishi ikiwa mtafika wote au yeye kuanza.........utahisi mchanganyiko wa hisia za raha, furaha, ukamili kama mwanamke na mapenzi ya dhati kwa mpenzi wako......inategemea zaidi na unavyolichukulia tendo hili takatifu, kama ni mpenzi wa tendo hili kama mimi basi utakuwa umenielewa vema.
Mkao-Kama kawaida mkao ni kifo cha mende na mtindo ni mwanamke chini.....kifo cha mende ni mkao wenye mitindo mingi ambayo haichoshi na inakuwezesha wewe mwanamke kuwa in control na kuwa huru kumfanyia mume/mpenzi wako mambo mengi kwa kutumia uke wako kuliko mikao migine.
Si kwa vile nimesema kifo cha mende basi wewe unakimbilia kitandani na kujilaza chali na kujipanua.....hapana! cheza-cheza nae mpe ile inaitwa "stata", au "hapitaita" kabla ya mlo kamili(hajalishi ni mzunguuko wa ngapi)....si unajua kuwa kila bao lina utamu tofauti??
Ili asijue nia yako ni nini basi unapaswa "kuzuga" na kumlaza yeye pale kitandani na kuanza kumfanyia "uchunguzi wa kina" kwa kutumia mikono/vidole, matiti, midomo, ulimi, mashavu ya uke.....na hakikisha unagusa kila kona ya mwili wake ambayo wewe unajua anapenda kuguswa.....
Baada ya hapo, jilaze pembeni yake na kumvuta ili aje juu yako au njia rahisi ni kukalia uume wake na kuhakikisha umeingia vya kutosha ndani yako alafu jilaze (full) juu yake bila uume kuchomoka kisha mkumbatie alafu jibilingishe nae.....hapo atakuwa juu yako moja kwa moja.....panua miguu yako vya kutosha ili kukuwezesha kuzunguusha kiuno cha ngono (sio kile cha ndombolo....).
Akisha kuwa juu yako muachie apige "tako" zake mbili/tatu yaani aende juu-chini au nje-ndani mara chache huku wewe ukizunguusha kiuno taratibu kutafuta kona nzuri ya kukibana kichwa......kisha mwambie atulize “ball” yaani hakuna ku-move.....no more takoz!
Alafu sasa, shikilia makalio yake na jaribu kuyakandamiza dhidi ya sehemu ya juu ya uke wako ili kumfanya asi-move(akitaka anaweza) lakini hiyo itakusaidia kumkumbusha kwa kumrudisha ndani kila akitaka kutoka kutokana na utamu.....na vilevile kukupa balance ya kufanya ukifanyacho.
Sasa anza kuzunguusha kiuno chako cha ngono ambacho kitakufanya uhisi kichwa cha uume kinasugua kona ya uke wako pale ulipoubana ktk mtido wa kuzunguuka, kubana na kuachia......endelea kuzunguusha kiuno chako cha ngono ktk nusu mzunguuko/duara yaani degree 180.....yaani huendi mzunguuko mzima unaenda nusu kisha unarudi ulikotoka nusu nyingine....kulia na kushoto.....
Utahisi jamaa anataka ku-move au atakushikilia kimtindo kama sio kutoa mihemo na miguno Fulani ya raha.......hatua hiyo ikifika ndio wakati wa kwenda mzunguuko mzima kwa kuongeza speed na kuipunguza.....Mf kukata kiuno cha ngono kutoka kulia kwenda kushoto ni rahisi na unakwenda haraka kuliko kile cha kutoka kushoto kwenda kulia. (inategemea kama wewe ni left heanded au vinginevyo)
Sasa unapobadilisha "rythim" kutoka haraka kwenda taratibu hakikisha unafanya kwa mpangilio huo, kwamba kutoka kulia kwenda kushoto haraka na kutoka kushoto kwenda kulia taratibu.....Hakika ile hali atakayokuwa akionyesha kuwa anafurahia itakufanya wewe ufurahie zaidi na utahisi utamu unakaribia.....
Hapa njemba itapagawa na kupiga "tako" mfurulizo ktk harakati za kufika kileleni.....wakati anafanya hivyo "relax" kiakili lakini kimwili endelea kufanya mambo uliyoanzisha ili mfike wote.
Kuna uwezekano mkubwa kabisa akakuacha njia panda....hiyo ndio nia na madhumuni kumuwahisha......hii yote inachukua dakika 10 mpaka 20 ukiunganisha na romance (kuandaana) lakini kwa tendo peke yake ni dk 8-10 tu kitu na box......

Jinsi ya kumnyonya.....

Wanaume wengi hupenda sana “ngono ya mdomo” na wanawake wengi pia hupenda ngono ya namna hiyo kwaniwana enjoy sana, lakini ukweli ni kuwa hutakiwi kchukua muda mrefu sana ili mwanamke abaki na hamu ya kufanya mapenzi.Hivyo haiwezekani uchukue muda mrefu sana  kwa vile unapochezea kisimi na kisha mwanamke kufika kileleni anahitaji muda wa kupumzika….ukiendelea bila kupumzika  ni wazi kuwa atakuwa anazuga kuwa nafurahia kumbe hakuna kitu.
Mwanamke anatakiwa akae kwenye kochi/ na kupanua miguu yake  au alale pembezoni mwa kitanda au kwenye kona ya kitanda kisha nyanyua miguu yake na aiweke kama  anazaa (V-shape).
Hapo wewe mwanaume unatakiwa kushika sehemu ya ndani ya mapaja yake ili kukurahisishia kuzama vema na vilevile kumzuia yeye asikubane kichwa mara tu utamu utakapomkolea.
Sasa weka mdomo wako juu ya kisimi ktk mtindo wa kufunika kisha anza kunyonya ktk mtindo wa kubusu, yaani kama vile unalamba mabaki ya kitu kitamu/chakula kidoleni.
Hakikisha pua, kidevu au kwa kifupi uso wako haugusi sehemu yoyote ya eneo hilo unalofanyia kazi na vilevile kumbuka kutokimbilia kupenyeza ulimi wako kwenye uke (pale uume unapoingia) na badala yake wewe komalia kisimi tu…..na ukinyonye na kukilamba vile mpenzi wako anapenda au unaweza kuongeza ujuzi wako wa kutumia ulimi as long as unajua kuwa mpenzi anafurahia.
Kumbuka kila unapobadili “mtindo” wa kulamba kinyonye kisimi hicho ktk mtindo wa kubusu pamoja nakuwa hutoa utamu wa hali ya juu pia itakusaidia au kukupa nafasi yakupumzika na kupumua bila kukiacha kisimi (ukikiacha utampotezea utamu mwenzio hali itakayo kufanya uanze mwanzo).
Ukihisi anakaribia basi jaribu kufanya kama vile unakivuta kisimi kwa juu (kama unakinyofoa) lakini bila kusababisha “discomfort” huku ukiendelea na mnyonyo wako mpaka atakapo anza kukaza misuli ya miguu na kukandamisha kichwa chako kama vile anataka uingize chote kisha atajiachia…..hapo ndio kamaliza hiyo inachuka kati ya dk5-30  na wewe hamisha ulimi na mdomo wako kwenye mashavu, uke,pale uume unaingia  na maeneo meingine ya karibu lakini sio kisimi kwani kwa wakati huo kinakuwa “sensitive”….huchukua muda wa dk10-20 kujirudia kama awali.
Onyesha unajali kwa kumuangalia usoni nakusifia eneo lake hilo huku unaendelea na safari yako ya kulamba-nyonya……ukiona anachangamka basi ujue ule u-“sensitive” umeisha na hapo unaweza ukarudi tena kwenye kisimi na kufanya kama awali na rudia kadiri uwezevya mpaka aombe msamaha kwamba inatosha na hawezi kufika tena (ukipiga bao nyingi inafikia wakati huwezi tena), kama ilivyo wa wanaume inafikia huwezi tena kutoa manii.
Kuna baadhi ya wanawake hupenda kuwapa wapenzi wao “mnato” wanapofanya mapenzi, kumbuka kuwa “mnato” au uvutwaji/nyonywaji wa uume unapokuwa ndani ya uke hauna uhusiano wowote na udogo wa uwazi wa uke wa mwanamke bali unauhusiano mkubwa na uimara wa misuli  ya uke (kwa ndani).
Mkao mzuri au unaotakiwa ni kifo cha mende, kama ambavyo sote tunafahamu kuwa mkao huu wa “kilokole” au “romantic” una mitindo mingi, kifo cha mende ninachozungumzia hapa ni kile cha asilia kuwa mwanaume juu mwanamke chini.
Panua miguu yako ili aweze kuingiza na akisha ingiza tu badilisha upanuaji wa miguu yako na ipanue ktk mtindo ambao unadhani utakuwezesha ku-move kirahisi…..alafu mwachie aende juu-chini kisha mwambie atulize “kitenesi” ndani kwamba abaki humo-humo na wewe anza kujishughulisha huku ukimpa maneno matamu na mabusu lukuki “denda” ndio tamu zaidi na vilevile unaweza tembelea puani, masikioni, na shingoni.
Kumbuka wewe mwanamke utakapo amua kukata kiuno , kile kiuno tunaita cha kufanyia mapenzi sio cha kucheza mdundiko…..unapaswa kukata kiuno kinachowezesha kuubana,kuvuta na kuuachia uume humo ndani ya uke(Kwa madaha)…kisha badilisha kwa kwenda huku nahuku, juu chini bila mpenzi wako kusogeza msuli…..ili kuzuia hilo jaribu kushikilia kiuno chake au makalio yake ili iwe rahisi kwako kumrudisha chini pala atakapo taka kuinua sehemu hiyo kutokana na utamu anaupata. Haita mchukua muda mrefu na atapiz.....

Kiuno kina umuhimu wake(kwa wadada)

Mwanamke nyonga......
Hebu tujaribu hizi za chao-chap
(i)-kata kiuno kama njia ya kumuita kitandani......kwamba lala chali ukiwa na chupi na sidiria kisha panua miguu alafu kunja magoti ktk mtindo wa V sasa kata kiuno na yeye atakufuata na kuaza kazi.....
(ii)-Kata kiuno kumsaidia.......ukiwa umelala chali(kifo cha mende)akiingiza uume usikate kiuno hata kidogo, muachie apige tako zake na ukihisi anapunguza speed ndio wakati muafaka wa kuanza kumpa kiuno taratiiiibu.....utaona ananza kuchangamka....endelea na hakikisha unabadilisha movement yaani kulia-kushoto alafu kushoto-kulia-juu-chini (kama una bell dancing).....utasikia anatoa sauti/miguno ya ajabu-ajabu(ndio utamu wenyewe anaupata hapo).
(iii)-Kata kiuno kum-tease na kumpa raha to the max........Yeye chini wewe juu, mkiwa wote tayari kwa tendo kalia uume half way (nusu) kisha zunguusha kiuno, yeye atataka kuingiza yote lakini mzuie kwa kurudi juu mapaka kichwani kisha rudia mpaka nusu na zunguusha kiuono tena......akitaka kuingiza rudi juu kama unaitoa ukeni alafu ingiza tena yote mpaka mwisho ride kidogo....jisogeze kwa juu kidogo(huku uume wote uko ndani)....mlalie alafu panua miguu ili iwe rahisi kukata kiuno.....endelea kumpakiuno huku unampa denda ktk same rythm ya ukatikaji wako.......Jinsi unavyozidi kumjua mwenzio ndivyo utakavyo zidi kuwa mbunifu na utagundua kona za uke wako ambazo utakuwa unazitumia kuubana uume na kujikatia kiuno ili kujipatia kilele. Kiuno kinasaidia sana mwanamke kufika kileleni haraka kuliko mwanaume.

Mwanamke Anapenda Kupendwa! Mara Nyingi Wanawake Ndiyo Hasa Huwa Na Mapenzi Ya Dhati Zaidi Kuliko Wanaume.

Mwanamke Anapenda Kupendwa! Mara Nyingi Wanawake Ndiyo Hasa Huwa Na Mapenzi Ya Dhati Zaidi Kuliko Wanaume. Mwanamke Anapoamua Kuwa Na Mpenzi Wake, Humpenda Kwa Moyo Wake Wote, Hivyo Hupenda Kuwa Salama Katika Penzi La Dhati Kwako. Anapenda Uhuru, Anapenda Kujisikia Wazi Kwako Mahali Popote.
  Mwanamke Anajisikia Vibaya Sana Anapokuwa Hana Uhuru Hata Wa Kukushika Mkono Mnakuwa Barabarani Pamoja. Anapenda Penzi La Uwazi! Maana Mwingine Utakuta Akikutana Na Rafiki Yake, Badala Ya Kumtambulisha Vizuri Kama Mpenzi Wake, Anaanza Kupatwa Na Kigugumizi. Utamsikia Akisema: “Ah! Huyu Ni Rafiki Yangu Bwana, Anaitwa Latipha....”Hili Ni Kosa Kubwa Linalofanywa Na Wanaume Wengi Bila Kujua Ni Kosa. Mwanamke Anakosa Amani Ya Moyo Kutokana Na Unavyomtafsirisha Mbele Ya Rafiki Zako. Anahisi Hayupo Salama. Lazima Atajiuliza Maswali, Kwanini
Hataki Kunitambulisha? Kwanini Anashindwa Kusema Mimi Ni Mpenzi Wake? Sifananii? Sina Mvuto Au Nina Tatizo Gani? Hayo Yanaweza Kuwa Maswali Yatakayomuumiza Sana Kichwa Mpenzi Wako, Ambaye Si Ajabu Akafanya Maamuzi Ambayo Hutayapenda.
Kidonda Hiki Hubaki Moyoni Mwa Mwanamke, Huwa Vigumu Sana Kuonyesha Wazi Kwamba Amechukia Kutokana Na Uliyomfanyia, Lakini Atabaki Akiugulia Moyoni Mwake Kwa Uchungu. Hata Hivyo, Kinachokuja Akilini Mwake Ni Kutafuta Mwanaume Mwingine Ambaye Atakuwa Wazi Kwake Ili Aweze Kufurahia Mapenzi Badala Ya Kuendelea Kuumia Moyoni Mwake.
Ni Dhahiri Kwamba Uamuzi Huu Hautaufurahia Hakika. 1. UNAVYOJALI... Mwanamke Anapenda Awe Wa Pekee Kwako, Umsikilize, Umjali Na Umpe Kipaumbele Katika Kila Unachokifanya . Wanawake Wengi Wanapenda Kudekezwa, Lakini Hawapendi Kuweka Hilo Wazi Kwa Mwanaume Wake. Kwa Kumtazama Tu Utagundua Mpenzi Wako Anahitaji Nini Zaidi Kwako! Wakati Mwingine Anaweza Kukupa Mitihani Ili Kupima Kiwango Cha Penzi Lako.
Anaweza Kukuambia Anaumwa Au Anauguliwa Na Mtu Wake Wa Karibu, Lengo Ni Kuangalia Ni Jinsi Gani Unakuwa Makini Anapokuwa Na Matatizo. Vile Utakavyochukulia Tatizo Lake Kwa Ukaribu, Uchungu Na Kuona Kama Lako, Ndivyo Utakavyomfanya Aone Thamani La Penzi Lako Kwake, Ikiwa Vinginevyo Basi Humuacha Na Machungu Moyoni, Huku Akijutia Kuwa Na Mpenzi Wa Aina Yako. Hii Ni Siri Ambayo Si Rahisi
Mwanamke Wako Akueleze Moja Kwa Moja. Atatumia Lugha Ya Ishara Kuonesha Jinsi Ambavyo Anahitaji Kuwa Wa Pekee Kwako. 2. JIFUNZE SIRI HIZO..... Hapa Ndipo Mwanaume Mwerevu Anatakiwa Kuwa Makini, Ni Lazima Ufahamu Siri Zilizopo Moyoni Mwa Mpenzi Wako.
Jifunze Kusoma Hisia Za Mpenzi Wako Kwa Nje, Kabla Ya Kufanya Kitu, Fikiria Mara Mbili, Lakini Baada Ya Kufanya, Msome Kupitia Uso Wake. Analifurahia Au Umemchukiza? Ni Vizuri Kugundua Hilo Ili Uweze Kufunga Hisia Za Kumfanya Aanze Kufikiria Kukusaliti. Hata Mnapokuwa Faragha Ni Vizuri Kuwa Makini Na Kila
Unachokifanya! Chunguza Kama Anafurahia Penzi Lako Na Manjonjo Yote Unayomfanyia. Kumbuka Kwamba Ni Vigumu Sana Mwanamke Kukueleza Moja Kwa Moja Kwamba Hujamfurahisha Au Kuna Kitu Umekikosea, Hii Husababishwa Na Hofu Ya Kuogopa Kukufanya Ujisikie Vibaya. Kwa Maneno Mengi WEWE Mwanaume Ndiye Mwenye Kazi Ya Kuangalia Mwanamke Wako Anapenda Nini Na Nini
Hapendi Ili Uweze Kuwa MWANAUME Wake Bora, Maana Hata Hisia Zake Za Ndani Utakuwa Unazifahamu. Ni Rahisi Sana, Soma Kupitia Macho Yake Kila Unachomfanyia, Utaujua Ukweli. Unajua Hata Ukimwita Kwa Jina Ambalo Hana Msisimko Nalo Lakini Ukiwa Unamtazama Usoni Ni Rahisi Sana Kugundua Kitu Fulani, Kama Hajakipenda Utaona Kwenye Macho Na Akikipenda Pia Utaona.
Unapokuwa Naye Faragha, Tumia Uwezo Wako Wote, Lakini Kumbuka Kwamba Si Kila Utakachokifanya Utamfurahisha. Hii Inamaanisha Kwamba, Baada Ya Kumchunguza Jinsi Anavyosisimka, Utaweza Kugundua Wapi Kuna Msisimko Zaidi Kuliko Sehemu Nyingine. Hapo Sasa Unaweza Kuibuka
MSHINDI Maana Utakuwa Umeziweka Siri Zake Hadharani, Kwa Maneno Mengine Kama Yeye Aliona Siri, Basi Umeweza Kuzigundua Na Angalau Umeanza Kuzifanyia Kazi. Nawapenda Sana Rafiki Zangu, Ndio Maana Nawapeni Mambo Mazuri Na Yenye Sifa Ili Msiweze Kusababisha Kitu Kinaitwa..."UMENITENDA/AMENITENDA" (KUTENDANA NI DHAMBI KUBWA SANA

PENZI LAKO LIMECHUJA, UNAJUA CHANZO?

Wiki hii nitazungumzia suala la penzi kuchuja. Ipo hali ya kujisahau baada ya wapenzi kuwa katika uhusiano kwa muda mrefu, haieleweki kama ni tabia ya mtu ama ni uhalisia wa mambo kwasababu ukweli ulio wazi ni kwamba, mwanzo wa uhusiano wengi hujitahidi kufanya mambo mengi ya kuwafurahisha wapenzi wetu lakini kadiri siku zinavyosogea, penzi huanza kuchuja.
Kama huamini katika hili, rudisha nyuma kumbukumbu zako kipindi kile ambacho ndio jamaa kaamua kukueleza wazi kwamba anakupenda halafu angalia na sasa hivi, utabaini kwamba kuna tofauti kubwa sana.

Huenda mlikuwa na desturi ya kununuliana zawadi kama maua, kadi, chokoleti tabia hiyo huenda ikawa imeyeyuka, hakuna kati yenu atakayekumbuka kitu hicho, ni wachache sana ambao wanakwenda na wakati ndiyo huendelea kuzingatia hayo.

Kuna wale ambao walikuwa na tabia ya kukutana kila mara kimapenzi ambapo kila mmoja alitaka kumuonesha mwenzie jinsi  alivyo fundi wa 'kuyarudi' ndani ya uwanja wa mapenzi lakini yale manjonjo huadimika kabisa.

Kawaida yenu ilikuwa kubadilisha hoteli kwa ajili ya chakula cha jioni lakini tabia hiyo hutoweka, labda kila wiki ilikuwa lazima muende 'out' mara tatu katika kumbi tofauti za starehe na kufurahia mapenzi yenu, hali hiyo itabaki historia tu.

Hivi hujawahi kusikia mtu anasema "Enzi zile naanza uhusiano na mpenzi wangu mapenzi yalikuwa moto moto, kila wiki ilikuwa lazima twende beach lakini, siku hizi nikigusia tu kwenda huko ni ugomvi."

Maneno kama haya huwa yananiuma sana hasa ninapogundua kwamba walio wengi wanakuwa na nguvu ya soda pale wanapoingia katika uhusiano lakini baada ya muda mambo hubadilika kabisa.

Sijajua ni kwasababu gani lakini kwa utafiti mdogo ambao nilioufanya kwa baadhi ya wanaume ni kwamba, wao wanapofanikiwa ‘kuona ndani tu’ hujenga kiburi fulani kwa wasichana wao huku wakiamini kwamba, hata wawe tofauti vipi hawawezi kuachwa!
Labda nijaribu kushauri kitu katika hili kwamba, kama uko kwenye uhusiano wa kimapenzi ama uko ndani ya ndoa, unatakiwa kufanya kila linalowezekana kulifanya penzi lenu lisichuje.

Wewe ndio unaweza kulifanya likaendelea kuonekana kuwa jipya kila siku ama kulifanya likachuja mithili ya nguo inayochuja rangi iliyotumbukiza katika ndoo ya maji ya moto.


Hatukatai kwamba, kuna mabadiliko ya kimaslahi, pengine mtu na mpenzi wake wameketi na kuona wanatumia pesa nyingi viwanja, kwahiyo wanaamua kupunguza au kuacha ili kujenga maisha bora ya baadae, si unajua tena mnapokuwa na malengo ya kimaisha zaidi?

Lakini ukweli unabaki palepale kwamba, penzi la dhati haliwezi kuchuja hata siku moja. Tujue wapo ambao wameishi miaka zaidi ya hamsini lakini penzi lao bado ni moto licha ya kuwepo kwa mabadiliko madogo ambayo hayakwepeki kutokana na umri.


Yapo mabadiliko mengi, lakini zaidi tujirekebishe, tukumbuke kwamba baadhi ya vitu tulivyokuwa navyo huko nyuma ndivyo viliwavutia wepenzi wetu na kukubali kuwa nasi kwa hiyo tukiacha tunakuwa tunawakatili.

What is real love

Real love is something so deep, so energizing, that you will not know it unless you experience it. Love is an expression of energy, not something that is transacted. Tell me one thing: can you love people when you meet them for the first time? (From the audience: No Swamiji! We don’t even know them, then how can we love them?)
Exactly! This is what you think. Let me tell you, with a little bit of intellectual understanding andmeditation, you will realize that you can love anyone without a reason, causelessly! You can love the trees on the road, you can caress them and feel the energy flow from you. You can love people whom you pass by on the road without even knowing them. Love is actually your very being, not a distilled quality that you possess.
Nothing is as misconstrued as love is today. Today, love is more of a transaction. If someone says something nice to you, you love him; tomorrow if the same person falls short of it, you don’t love him that much or you probably hate him.
Even your lifelong friend, with whom you chat everyday on the computer, will seem suddenly not-so-close if he says something that goes against your approval. Where is your love at this time? It has suffered temporarily!
It is just games that you play; a game in which love and hate surface alternately and interchangeably. And this love-hate relationship is not love at all. Be very clear. It is simply your reaction to a person or a situation, that’s all. This is what we call love. This is not real love. It is subjective love, that’s all.
Real love knows no object. It is simply there whether there is an object or not. Real love is the subject itself. It does not know any object. You are the subject and you have become love, that’s all. Any object that comes in touch with it, feels it. Just like a river flows naturally and people enjoy it at the different places that they encounter it, real love exudes from a person and the people around him will be able to feel it.
There is absolutely no room for conditioning in real love. The energy in you should overflow and express itself as love. It is then that you can break through the highly knotted boundaries of relationships and express yourself beautifully, as a loving being!
In order to discover the quality of your being, that is love, two things can be done. The first thing: repeatedly listen to words like these so that they create a conviction in you about real love; so that a space is created in you for the process of transformation. Second thing: meditate so that the transformation can actually happen.
In practical life, when you go deeper and deeper into relationships, you will understand that all that you feel is not real love, but just some form of give and take. It is all just adjustment, some compromise, some duty-bound feelings, some fear, some guilt. It is all there in the name of love.
Meditation will take you beyond these mis-understandings of love. Meditation will work at the being level. That is why it is a shortcut! When you have to go through life and know it by yourself, it will take you a lifetime. But withmeditation, a space opens inside you to experience these things clearly for yourself, whatever your age may be.
Just understand this one thing: when you are able to love without a reason, you will expand like anything. Your world will suddenly seem larger than life. It will be so ecstatic. You will become an energy source to yourself and to others. You will be so overflowing that the energy in you has to touch others. There is no other way. Others will be naturally drawn to you.

Huu ndio mtego

Neno KUPENDA, au UPENDO, limekuwa msamiati mgumu sana kwa vijana wa leo, shetani amefanikiwa kwa asilimia 90 kuwanasa vijana wengi na kuwaangusha katika dhambi, akitumia msamiati huu NAKUPENDA. Nikiwa katika huduma zangu za Injili, nilikutana na binti mmoja ambaye alikuwa amezidiwa kitandani akiwa anaumwa, lakini pia alikuwa mja mzito. Nilipomuuliza mumewe yuko wapi, akaanza kulia, mwishowe akaeleza kisa cha kusikitisha jinsi kijana wa kiume alivyomdanganya kuwa anampenda, lakini baada kutimiza haja yake, akampiga “KIBUTI” hakutaka hata kumuona, alitelekezwa bila msaada. Vijana wengi leo hasa wa kike wanaingizwa “CHAKA” wanadanganywa na vijana wa kiume kwa neno NAKUPENDA, Binti akiambiwa nakupenda, utamuona Macho na masikio yanaaza kulege, kusema ukweli wengi HAWAPENDI, bali WANATAMANI. Wengi wamepitia changamoto hiyo ya kuambiwa wanapendwa, lakini baadaye walijikuta hukana Upendo. Na matatizo ya ndoa nyingi za siku hizi yanatokana na mwanzo wa mahusiano kuwa ni kukidhi TAMAA ya mwili. Misukumo na Mihemuko ya Tamaa za NGONO imechukuliwa na Vijana wengi kuwa ni Upendo. Utakuta kijana wa kiume anaonyesha hisia zote za kupenda, yuko tayari kukupigia magoti, kukulamba miguu, kukupatia chochote utakacho, ili mradi akuonyeshe kuwa anakupenda. Kisa cha Amnoni na Tamari katika biblia “1Samweli 13:1-22”, kinaeleza jinsi Amnoni alivyougua kwa kumpenda dada yake Tamari, lakini baada ya Kuzini naye, Mihemuko ya Ngono ilipoisha akamchukia Vibaya sana.
Kuna ujinga ambao shetani ameuhalalisha kwa vijana wa kizazi hiki, kuwa Upendo unadhihirishwa kwa tendo la NGONO, yaani bila kumuonjesha eti utakuwa hujakubali penzi lake, na wengine ukiwanyima eti wanaangua kilio nakusema “Darling mwenzio utaniua aaaaaa” , Mwambie kama kweli unanipenda basi kufa nione, utashangaa macho makavuu! anaendelea kula dagaa. KIJANA ANAYELILIA NGONO KABLA YA NDOA HAKUPENDI ANAKUTAMANI,na jambo la hatari kabisa ni kwamba anakutenganisha na Mungu wako kwa kukuingiza katika Dhambi – Neno linasema “Enyi Wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa Dunia ni kuwa ADUI wa Mungu? …” Yakobo 4:4. Iweni na akili, upendo unaokutenga na Mungu wako una faida gani? Ulimwengu utakapokugeuka na Tufani kuvuma juu yako, utamkimbilia nani kama sio Mungu?
Wito wangu kwa vijana wote wanaopenda kuwa na maisha yenye Baraka za mungu ni huu “Basi Mtiini Mungu, Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. Mkaribieni Mungu naye atawakaribia ninyi ….” Yakobo 4:7-8. Mungu anahitaji vijana wanaoweza kumwambia Shetani “NO” au “HAPANA”, mpaka lini Shetani ataendelea kutawala maisha ya vijana? It is time to say “NO” and be ready because JESUS is around the corner. Mwisho nawapongeza vijana wote waliotangaza NIA ya kufunga Ndoa halali, na kuachana na Dhambi ya Uzinzi. Nitazidi kuwaombea ili Mungu azidi kuifanikisha mipango yenu.

7 comments:

  1. kwanin si pizz wakat nafanya mapenzi wakat naridhishwa na pia nakuwa mkavu wakati nakuwa na hamu na mpenzi wang nisaidieni imekuwa tatizo katika uhusiano wangu kwan naambiwa sina hisia nae

    ReplyDelete
    Replies
    1. ingia hapa ujue zaidi http://jamiivibes.blogspot.com/

      Delete
  2. http://jamiivibes.blogspot.com/

    ReplyDelete
  3. Replies
    1. Nataka kusikia radha wakati nafanya Mapenzi

      Delete