PICHA NNE ZA DARASA LA SABA LEO JIJINI ARUSHA WA KIHITIMU MITIHANI YAO
![]() |
Wanafunzi wa darasa la Saba Shule ya Msingi Levolosi jijini Arusha wakitoka kufanya mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi nchini. |
![]() |
Wanafunzi wakibadilishana mawazo kuingia kwenye mitihani yao ya mwisho. |
![]() |
Mwalimu Mkuu wa shule ya Levolosi akizungumza na wanafunzi wake baada ya kufanya mithani yao ya kuhitimu. |
No comments:
Post a Comment