PICHA NNE ZA DARASA LA SABA LEO JIJINI ARUSHA WA KIHITIMU MITIHANI YAO
![]() |
| Wanafunzi wa darasa la Saba Shule ya Msingi Levolosi jijini Arusha wakitoka kufanya mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi nchini. |
![]() |
| Wanafunzi wakibadilishana mawazo kuingia kwenye mitihani yao ya mwisho. |
![]() |
| Mwalimu Mkuu wa shule ya Levolosi akizungumza na wanafunzi wake baada ya kufanya mithani yao ya kuhitimu. |




No comments:
Post a Comment