Thursday, October 10, 2013

DSCF0769Mshauri mkuu wa vipindi vya Radio 5 David Rwenyagira akiongea na vyombo vya habari jana  kuhusu Tamasha la Arusha Festival linalotarajiwa kuanza rasmi tarehe 14/10/2013 jijini hapa lenye lengo la kuenzi kazi za Baba wa Taifa,Mwalimu Julius Kambarage  Nyerere
DSCF0766Kulia niMkurugenzi wa kampuni ya Shining Stars LTD  Ibbrahim Thabit katikati Sarah Keiya Meneja masoko wa kampuni ya  Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha na Lalit Sharma Meneja maoko PEPSI
DSCF0795Vicky Mwakoyo ambaye ni Creative Meneja wa kampuni ya  Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha akiwaelezea  waandishi wa habari wasanii watakaopamba Tamasha hilo kuwa ni Jambo Squared,Watoto wa simba,Ngoma za Asili na wengine wingi.
DSCF0794Katika Tamasha hilo pia watapiga vita ujangili pamoja na matumizi mabaya ya Maliasili na Rasilimali kwakuwa Baba wa Taifa enzi ya uhai wake  alikuwa Mstari wa mbele
DSCF0771
DSCF0775David Rwenyagira akisisitizia jambo kuhusu Tamasha hilo ambapo alisema litaanza kwa maandamano katika uwanja wa Sheikh Amir Abeid”Stadium”jijini Arusha kuelekea katika uwanja wa General Trye
DSCF0773Baadhi ya waandishi wa habari wakifanya kazi yao
DSCF0799Hapa wadhamini wa Tamasha hilo wakaamua kugonga cheers kuashiria tamasha hili litakuwa la kukata na soka
DSCF0796

No comments:

Post a Comment