KIONGOZI blog

MIXING STORY

Pages

  • Home Burudani Taarifa Elimu Maajabu Mujanja

Thursday, March 20, 2014

RAIS KIKWETE KUHUTUBIA BUNGE LEO



Bunge la Tanzania mjini Dodoma
Rais Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua rasmi shughuli za bunge la kitaifa kuhusu marekebisho ya katiba mjini Dodoma katika hatua itakayoanzisha rasmi mjadala wa kitaifa kuhusu marekebisho hayo.
Bunge hilo maalum la katiba limepewa kati ya siku 70 hadi 90 kujadili rasimu ya katiba na kisha kuifanyia marekebisho kabla ya kura ya maamuzi itakayopigwa na wananchi wapande zote mbili Zanzibar na Bara.

Kuna ripoti kwamba baadhi ya wajumbe kutoka upinzani na mashirika ya kiraia yanapanga kuvuruga shughuli hiyo ya uzinduzi.
Suala la hotuba ya Rais Kikwete limekuwa sehemu ya mjadala katika Bunge hilo kutokana na baadhi ya wajumbe kuhoji sababu za Jaji Warioba kuwasilisha Rasimu kabla ya Rais kuzindua Bunge kwa mujibu wa kanuni.
Mjadala huo uliwafanya baadhi ya wajumbe kumzuia Jaji Warioba Jumatatu iliyopita kuwasilisha rasimu hiyo kama ilivyokuwa imepangwa.
Kikao cha maridhiano kilifanyika siku hiyohiyo usiku na kufikia mwafaka kwamba Mwenyekiti huyo wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba awasilishe Rasimu ndipo sasa Rais aweze kuzindua shughuli ya kujadili rasimu hiyo kabla ya kura ya ma
Posted by KIONGOZIGOD.BLOGSPOT.COM at 11:28 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

KIONGOZI GOD

KIONGOZI GOD
GT

ukihitaji Gari kununua gari bonyeza hapa

ukihitaji Gari  kununua gari bonyeza hapa
showroom ya magari

ZINAZOVUMA(popular post)

  • EMBU ANGALIA HAPA PICHA ZA UCHI ZA KINA DADA HAWA
         
  • Kwa ajili ya wanawake pekee yao
    Kwa ajili ya wanawake pekee yao Nafahamu kuwa unafahamu kwamba mwanamke siku zote anachelewa kufika kileleni hali inayofanya waume/...
  • (no title)
      PICHA ZA LAANA YA “KANGA MOKO NDEMBE NDEMBE Mambo yanayofanywa na kundi la kanga moja ni ya aibu sana  kwa  sababu  ni ...
  • (no title)
    SOMA STORI HII YA KWELI YA KIJANA ALIYECHOMWA MOTO BILA HATIA...!!   Bwana Zimbo (kwenye picha), alikuwa hajaajili...

Translate

About Me

My photo
KIONGOZIGOD.BLOGSPOT.COM
ARUSHA, ARUSHA, Tanzania
View my complete profile

Total Pageviews

KARIBU TENA AKSANTE. Picture Window theme. Powered by Blogger.