Friday, May 13, 2016

Uthibitisho wa kilichomuuwa Msanii Kinyambe Ninao kwenye haya maelezo

Kuanzia Jana kulianza kusambaa taarifa za kifo cha mchekeshaji maarufu kwa jina  la  Kinyambe lakini taarifa ambaozo KIONGOZI BLOG ilizipata ni kwamba aliugua kwa muda wa miezi nane  huko uyole mbeya
Baba mzazi wa marehemu Petro ameeleza kwamba aliugua kwa huo muda lakin wanaendelea na utaratibu  za mazishi

No comments:

Post a Comment