Tuesday, March 21, 2017

Diwani wa Chadema Arusha amesema wanaompinga RC,DC na mkurugenzi nivichaa


BREAKING;Diwani wa kata ya kimandolu CHADEMA  Rhyson Ngowi amesema wanaomkataza kufanya kazi na mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Fabian Daqarro  na mkurugenzi wa jiji Athumani Kihamia pamoja  viongozi wengine ni vichaa na yeye anatekeleza ilani ya chama kilichopo madarakani

Amesema hua hapendi siasa za mafarakano na atawapa viongozi ushirikiano
#Ziara ya Dc Kimandolu



No comments:

Post a Comment