Wednesday, April 5, 2017

Jiji la Arusha limetoa bure bima ya afya kwa walemavu 351



Mkurugenzi wa jiji la Arusha Athuman Kihamia amesema Jumla ya walemavu 351 waliopo katika jiji la Arusha watatibiwa nakupewa huduma za afya bure kwa mwaka mzima kutokana na changamoto ambazo wamekuwa wakizipata

No comments:

Post a Comment