Thursday, October 17, 2013

DSCF0844 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Monaban,Philemon Mollel ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Arusha Movie uliofanyika hivi karibuni katika hotel ya Naura Springs ambapo alichangia Milioni 7 kama machango wake kwa wasanii wa Arusha
Katika uzinduzi huo wakati akisoma hotuba yake kwa wasanii hao ,Mollel aliwataka kuhakikisha kazi wanazozifanya zinaleta ujumbe wa kuelimisha jamii pamoja na kuburudisha, huku akiwataka viongozi wa Arusha Movie kutokukata tamaa bali wafanye kazi kwa ushirikiano ili kuleta maendelea kwa wasanii na kuwa mfano wa kuigwa na wasanii wengine Nchini
DSCF0847Afisa masoko wa kampuni ya Megatrade Bw.Goodluck Kwayu aliyevalia njano ambapo katika uzinduzi huo wa Arusha Movie alichangia shilingi laki Tano na kuhaidi kama kampuni watashirikiana na wasanii bega kwa bega kuhakikisha sanaa ya Arusha inakuja juu
DSCF0846Wadau walioalikwa kuja kuchangia Arusha Movie wakifwatilia burudani katika hotel ya Naura jijini Arusha hivi karibuni
DSCF0842Msanii wa Arusha akitoa burudani kwa mashabiki wake
DSCF0848Mastage show wakichangamkia juukwaa hali iliyowafanya mashabiki kuwafurahia zaidi katika uzinduzi huo wa Arusha Movie hivi karibuni katika hoteli ya Naura springs
JAMII BLOG FOOTER

No comments:

Post a Comment