
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili Uwanja wa Ndege wa Nduli mjini Iringa
jana Oktoba 13, 2013 kuhudhuria Maadhimisho ya Kilele cha Mbio za Mwenye
wa Uhuru, Wiki ya Vijana na Kumbukumbu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere zinafanyika leo katika uwanja wa Kumbukumbu ya
Samora.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Iringa mjini Mhe Msigwa
katika Uwanja wa Ndege wa Nduli mjini Iringa kuhudhuria Maadhimisho ya
Kilele cha Mbio za Mwenye wa Uhuru, Wiki ya Vijana na Kumbukumbu ya
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zinazofanyika katika
uwanja wa Kumbukumbu ya Samora.

Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na kamanda wa vijana wa CCM Mkoani
Iringa,Mhe Asas katika Uwanja wa Ndege wa Nduli mjini Iringa kuhudhuria
Maadhimisho ya Kilele cha Mbio za Mwenye wa Uhuru, Wiki
ya Vijana na Kumbukumbu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage
Nyerere zinazonyika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Samora. PICHA NA IKULU
CHANZOhttp://rweyemamuinfo.blogspot.com/
No comments:
Post a Comment