KIONGOZI blog

MIXING STORY

Pages

  • Home Burudani Taarifa Elimu Maajabu Mujanja

Sunday, April 13, 2014


KITU KINACHOSADIKIWA KUWA NI BOMU CHALIPUKA KATIKA BAR MAARUFU JIJINI ARUSHA

 
Habari tulizozipata hivi punde zinadai  kwamba mlipuko umetokea katika bar maarufu hapa jijini Arusha inayojulikana kwa jina la Arusha Night Park iliyopo maeneo ya mianzini.

sababu za mlipuko huo bado haziajajulikana na juhudi za kupata taarifa kutoka kwa kamanda polisi mkoa wa Arusha BW. Liberatus Sabas zinaendelea ili kutoa taarifa kamili

Mlipuko huu ni wa tatu kutokea jijini Arusha wa kwanza ni ule uliotokea katika kanisa la Mt. joseph mfanyakazi Olasiti na kusababisha vifo vya watu watatu na majeruhi kadhaa na tukio la pili lilitokea katika mkutano wa chadema uliokuwa ukifanyika katika viwanja vya soweto hapa jijini Arusha ambapo pia ulisababisha vifo pamoja na majeruhi

PICHA na taarifa zaidi zitakujia muda sio mrefu.
Posted by KIONGOZIGOD.BLOGSPOT.COM at 4:07 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

KIONGOZI GOD

KIONGOZI GOD
GT

ukihitaji Gari kununua gari bonyeza hapa

ukihitaji Gari  kununua gari bonyeza hapa
showroom ya magari

ZINAZOVUMA(popular post)

  • (no title)
    Jwtz lalaani vikali askari wake kushindwa kutii maelekezo ya askari wa usalama bara barani. Jeshi la  wananchi  wa  Tanzania  J...
  • (no title)
      PICHA ZA LAANA YA “KANGA MOKO NDEMBE NDEMBE Mambo yanayofanywa na kundi la kanga moja ni ya aibu sana  kwa  sababu  ni ...
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA YAMETANGAZWA RASMI LEO.
    Matoke ya Darasa la Saba yametangazwa hivi punde hivi leo na mwaka huu ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 30.72 mwaka jana mbaka asilimi...
  • EMBU ANGALIA HAPA PICHA ZA UCHI ZA KINA DADA HAWA
         

Translate

About Me

My photo
KIONGOZIGOD.BLOGSPOT.COM
ARUSHA, ARUSHA, Tanzania
View my complete profile

Total Pageviews

KARIBU TENA AKSANTE. Picture Window theme. Powered by Blogger.