Mgombea urais wa UKAWA kupitia CHADEMA, Edward Lowassa akiwa anawasili msibani kwa marehemu mzee Chisumo, mkoani Kilimanjaro. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete, pia anatarajia kuhudhuria mazishi ya mwasisi huyo wa TANU na CCM leo.

Mhe Lowassa akiwasili msibani


msafara wa Lowassa ukiwa mjini moshi ni baada yakuzuiliwa kwa muda

Mhe Lowassa akiwasili msibani


msafara wa Lowassa ukiwa mjini moshi ni baada yakuzuiliwa kwa muda
No comments:
Post a Comment