Thursday, December 12, 2013

Akijibu swali la papo kwa papo asubuhi hii,Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda,amesema kama Mh Raisi na Bunge vinaona yeye ni mzigo na hana uwezo,yupo tayari kuachia nafasi hiyo,,Mh Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo asubihi hii kufuatia swali la Mbunge wa kuteuliwa Lukia Kasim Ahmed,aliyetaka kujua msimamo wa waziri mkuu kufuatia kauli ya katibu mkuu wa ccm Abdulahman Kinana kuwa kuna mawaziri mizigo,na kauli ya hivi karibuni ya Kangi Lugola kuwa Mh Pinda ndiyo Mzigo kwenye serikali.Mh Pinda amesema nafasi uwaziri mkuu ni ngumu na yupo tayari kuitema kama Raisi ataamua ama bunge likiamua kumjadili........

No comments:

Post a Comment