Tuesday, March 28, 2017

Agizo la DC katika kata ya Moivaro

Kutokana nakuwepo kwa tatizo la kivuko katika kata ya Moivaro mkuu wa wilaya ya  Arusha ameagiza watendaji wahakikishe wanatengeneza kivuko cha muda ili kiweze kuruhusu mawasiliano wakati serikali ikijipanga katika ujenzi wa daraja la kisasa
Hata hivyo wananchi wamezungumzia suala la uwepo wa umeme mdogo pamoja na suala la machimbo ya moramu

No comments:

Post a Comment