Thursday, March 30, 2017

BREAKING;Mbunge lijualikali aachiwa huru

Mbunge wa Kilombero Peter Lijualikali yuko huru baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kilombero. #Mwananchileo

No comments:

Post a Comment