Thursday, March 30, 2017

DC Arusha azungumzia walivyofeka posho za madiwani Arusha


;Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Fabian Daqarro amesema miradi ya maji,elimu bure pamoja na huduma nyingine za kijamii zinazotolewa ni utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi nakuwataka wananchi kufanya kazi pamoja nakutoa ushirikiano kwa serikali

Hata hivyo amewataka wananchi wanaomiliki nyumba zao kwenda TRA kwa ajili ya uhakiki ili waweze kulipa kodi ili serikali iweze kupata mapato

Hata hivyo amegusia suala la posho za madiwani nakusema wataendelea kuzibana kwa kuwa walikuwa wanataka kujilipa shilingi elfu 80 za nauli za usafiri kinyume na utaratibu na watalipwa shilingi elfu 10 kwa kata za karibu na shilingi elfu 20 kwa kata za mbali na jiji

No comments:

Post a Comment