Sunday, May 28, 2017

Mkurugenzi kihamia avunja rekodi K.K.K.T afanikisha upatikanaji wa mil 39 viongozi wambariki




Mkurugenzi wa jiji la Arusha Athuman Kihamia ameweza kushiriki katika harambee yakuchangia maenedeleo ya mtaa pamoja kanisa la KKKT usharika wa Enaboishu mtaa wa loruvan nakufanikiwa kupatikana fedha zaidi ya milion 39 ambazo zitatumika katika shuhuli mbalimbali

Awali baada yakufanikisha suala hilo viongozi wa dini walipata nafasi yakumuombea sala malumu kwa jinsi alivyojitoa katika masuala ya maendeleo

Pamoja na hayo kihamia amewaomba waliotoa ahadi kutimiza ili kuweza kuharakisha maendeleo
Hata hivyo ameongozana na viongozi mbalimbali akiwemo mfanyabiashara Philemon Moleli

No comments:

Post a Comment