Thursday, May 18, 2017

Mkurugenzi wa jiji Arusha asema meya na naibu meya wamesababisha hasara baada yakutokuhudhuria vikao

Mkurugenzi wa jiji la Arusha Athuman kihamia amesema leo kikao cha robo mwaka kupitia mirad ya maendeleo pamoja na shughuli nyingine za serikaki kimeshindwa kuendelea baada ya meya na naibu meya kushindwa kuhudhuria kikao bila kutoa taarifa

Kihamia amesema pamoja na hasara zilizotokea ni pamoja na chakula kilichokuwa kimeagizwa pamoja na mambo mengine

Hata hivyo amesema ataendelea kutekeleza majukumu yake kwa ajili yakuwaletea maendeleo wananchi

No comments:

Post a Comment